"Karibu katika Tovuti ya Bodi ya Mkonge Tanzania; Wewe ni wa thamani sana kwetu, asante kwa kutembelea tovuti yetu. Jiunge nasi ili ugundue singa asilia za Mkonge."
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilida Burian akifurahia elimu ya kilimo Mseto cha Mkonge aliyopata katika banda la Bodi ya Mkonge Tanzania( TSB) wakati wa ziara yake ya kutembelea mabada ya maonesho katika ufunguzi wa maonesho ya Wiki ya Chakula Duniani.
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), Saddy Kambona amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Biashara wa Kampuni inayojihusisha na biashara ya matrekta nchini (TAFE), Praveen Makala na Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa kampuni hiyo, Bosco Raj.
Balozi wa Vietnam nchini Tanzania, Mhe. Vu Thanh Huyen ametembelea Ofisi za Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) jijini Tanga kwa lengo la kujifunza kuhusu mnyororo mzima wa thamani wa zao la Mkonge
Ziara ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TSB katika mradi wa Mruazi Heifer Breaeding Unit ( HBU)
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TSB wakagua mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kisasa cha kuchakata Mkonge cha Taula kilichopo wilaya ya Handeni Mkoani Tanga
Wanafunzi wa Shule ya Msingi St. Margarets Academy iliyopo mkoani Arusha, wamefanya ziara ya mafunzo Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) na viwanda vya kuchakata Mkonge mkoani Tanga, kwa lengo la kujifunza kuhusu kilimo cha Mkonge na faida zake.
Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe (wa pili kulia), akionyeshwa maeneo mbalimbali ya ofisi za Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) wakati akienda kuzindua Kituo Atamizi cha Mkonge BBT Tanga kinachosimamiwa na TSB.
Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe (kulia) akipokea zawadi ya picha ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan iliyozalishwa kwa zao la Mkonge sanjari na bidhaa nyingine zinazotokana na zao hilo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Mh. Japhari Kubecha.
Wakurugenzi TSB katika ziara
Mhe. Bashe azindua kituo atamizi cha Mkonge BBT
Wanajeshi watembelea kitalu cha miche ya Mkonge TARI Mlingano, mkoani Tanga.
Kitalu cha Miche ya Mkonge
Mkurugenzi wa maendeleo ya zao la Mkonge akitoa elimu kuhusu Mkonge