Ni maeneo gani yanayotumika kama njia kuu za usafirishaji wa nyuzi za Mkonge nje ya nchi?
Ni maeneo gani yanayotumika kama njia kuu za usafirishaji wa nyuzi za Mkonge nje ya nchi?
Maeneo makuu yanayotumika kwa ajili ya usafirishaji wa nyuzi za Mkonge ni kupitia bandari ya Dar es Salaam na Tanga. Pamoja mipaka ya Horohoro, Namanga na Rusumo








