Bidhaa zipi zinazotengenezwa kwa kutumia Mkonge?

Bidhaa mbalimbali zinatengenezwa kwa kutumia nyuzi za mkonge kama; kamba na nyuzi, mikeke na mazulia,  Mikoba na vikapu, Magunia ya kuhifadhia mazao, viti vya kupumzikia, gypsum boards, mapambo ya ukutani, mapambo ya makabati, bao wa kurusha vishale (dartboard), n.k

Taasisi Shirikishi
Hakimiliki ©2026 Bodi ya Mkonge Tanzania. Haki zote zimehifadhiwa.