Bidhaa zipi zinazotengenezwa kwa kutumia Mkonge?
Bidhaa zipi zinazotengenezwa kwa kutumia Mkonge?
Bidhaa mbalimbali zinatengenezwa kwa kutumia nyuzi za mkonge kama; kamba na nyuzi, mikeke na mazulia, Mikoba na vikapu, Magunia ya kuhifadhia mazao, viti vya kupumzikia, gypsum boards, mapambo ya ukutani, mapambo ya makabati, bao wa kurusha vishale (dartboard), n.k








