Salamu za Pongezi kwa Mhe. Deogratius John Ndejembi kwa Kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

31 Aug, 2026

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Bodi ya Mkonge Tanzania(TSB)  tunakupongeza Mhe. Deogratius John Ndejembi, kwa kuteuliwa na kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Taasisi Shirikishi
Hakimiliki ©2026 Bodi ya Mkonge Tanzania. Haki zote zimehifadhiwa.