Salamu za Pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuondokewa na Mume wake..

10 Sep, 2026

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) Tunatoa pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuondokewa  na Mume wake  Mhe. Hafidh Ameir Hassan.

Taasisi Shirikishi
Hakimiliki ©2026 Bodi ya Mkonge Tanzania. Haki zote zimehifadhiwa.